Agano la Kale

Agano Jipya

Ufunuo 6:9 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha, Mwanakondoo akavunja mhuri wa tano. Nikaona pale chini ya madhabahu ya kufukizia ubani roho za wale waliouawa kwa sababu ya ujumbe wa Mungu, na kwa sababu ya ushuhuda waliotoa.

Kusoma sura kamili Ufunuo 6

Mtazamo Ufunuo 6:9 katika mazingira