Agano la Kale

Agano Jipya

Ufunuo 9:17 Biblia Habari Njema (BHN)

Hivi ndivyo nilivyowaona hao farasi na wapandafarasi katika hiyo njozi: Walikuwa na ngao vifuani zilizokuwa moto mtupu, zenye rangi ya samawati na manjano kama madini ya kiberiti. Vichwa vya hao farasi vilikuwa kama vya simba; na moto, moshi, na madini ya kiberiti vilikuwa vinatoka vinywani mwao.

Kusoma sura kamili Ufunuo 9

Mtazamo Ufunuo 9:17 katika mazingira