Agano la Kale

Agano Jipya

Ufunuo 9:5 Biblia Habari Njema (BHN)

Nzige hao hawakuruhusiwa kuwaua watu, ila kuwatesa tu kwa muda wa miezi mitano. Maumivu watakayosababisha ni kama maumivu yanayompata mtu wakati anapoumwa na nge.

Kusoma sura kamili Ufunuo 9

Mtazamo Ufunuo 9:5 katika mazingira