Agano la Kale

Agano Jipya

Waebrania 1:5 Biblia Habari Njema (BHN)

Maana Mungu hakumwambia kamwe hata mmoja wa malaika wake:“Wewe ni Mwanangu;mimi leo nimekuwa Baba yako.”Wala hakusema juu ya malaika yeyote:“Mimi nitakuwa Baba yake,naye atakuwa Mwanangu.”

Kusoma sura kamili Waebrania 1

Mtazamo Waebrania 1:5 katika mazingira