Agano la Kale

Agano Jipya

Waebrania 12:25 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, jihadharini msije mkakataa kumsikiliza huyo anayesema nanyi. Kama wale waliokataa kumsikiliza yule aliyewaonya hapa duniani hawakuokoka, sisi tutawezaje kuokoka kama tukikataa kumsikiliza yule anayetuonya kutoka mbinguni?

Kusoma sura kamili Waebrania 12

Mtazamo Waebrania 12:25 katika mazingira