Agano la Kale

Agano Jipya

Waebrania 13:17 Biblia Habari Njema (BHN)

Watiini viongozi wenu na kushika amri zao; wao huchunga roho zenu usiku na mchana, na watatoa ripoti ya utumishi wao mbele ya Mungu. Kama mkiwatii watafanya kazi zao kwa furaha, la sivyo, watazifanya kwa huzuni, na hiyo haitakuwa na faida kwenu.

Kusoma sura kamili Waebrania 13

Mtazamo Waebrania 13:17 katika mazingira