Agano la Kale

Agano Jipya

Waebrania 2:10 Biblia Habari Njema (BHN)

Ilikuwa haki tupu kwamba Mungu, ambaye huumba na kutegemeza vitu vyote, alimfanya Yesu kuwa mkamilifu kabisa kwa njia ya mateso, ili awalete watoto wengi waushiriki utukufu wake. Maana Yesu ndiye anayewaongoza kwenye wokovu.

Kusoma sura kamili Waebrania 2

Mtazamo Waebrania 2:10 katika mazingira