Agano la Kale

Agano Jipya

Waebrania 2:14 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, kwa vile watoto hao, kama awaitavyo, ni watu wenye mwili na damu, Yesu mwenyewe akawa kama wao na kushiriki ubinadamu wao. Alifanya hivyo ili, kwa njia ya kifo chake, amwangamize Ibilisi ambaye ana mamlaka juu ya kifo,

Kusoma sura kamili Waebrania 2

Mtazamo Waebrania 2:14 katika mazingira