Agano la Kale

Agano Jipya

Waebrania 4:12 Biblia Habari Njema (BHN)

Neno la Mungu ni hai na lina nguvu; ni kali kuliko upanga wenye makali kuwili. Hukata kabisa mpaka mahali ambapo moyo na roho hukutana, mpaka pale vikutanapo viungo vya mwili na uboho. Neno hilo huchambua nia na fikira za mioyo ya watu.

Kusoma sura kamili Waebrania 4

Mtazamo Waebrania 4:12 katika mazingira