Agano la Kale

Agano Jipya

Waebrania 6:18 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, kuna vitu hivi viwili: Ahadi na kiapo, ambavyo haviwezi kubadilika na wala juu ya hivyo Mungu hawezi kusema uongo. Kwa hiyo sisi tuliokimbilia usalama kwake, tunapewa moyo wa kushikilia imara tumaini lililowekwa mbele yetu.

Kusoma sura kamili Waebrania 6

Mtazamo Waebrania 6:18 katika mazingira