Agano la Kale

Agano Jipya

Waefeso 2:11 Biblia Habari Njema (BHN)

Nyinyi mlio kwa asili watu wa mataifa mengine – mnaoitwa, “Wasiotahiriwa” na Wayahudi ambao hujiita, “Waliotahiriwa,” (kwa sababu ya kile wanachoifanyia miili yao) – kumbukeni mlivyokuwa zamani.

Kusoma sura kamili Waefeso 2

Mtazamo Waefeso 2:11 katika mazingira