Agano la Kale

Agano Jipya

Waefeso 2:3 Biblia Habari Njema (BHN)

Na hata sisi sote tulikuwa kama wao; tuliishi kufuatana na tamaa zetu za kidunia na kufanya tu mambo yale yaliyoipendeza miili na akili zetu. Kidunia, sisi kama vile pia wao, tulistahili ghadhabu ya Mungu.

Kusoma sura kamili Waefeso 2

Mtazamo Waefeso 2:3 katika mazingira