Agano la Kale

Agano Jipya

Waefeso 3:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Siri yenyewe ni hii: Kwa njia ya Injili watu wa mataifa mengine wanapata sehemu yao pamoja na Wayahudi katika zile baraka za Mungu; wao ni viungo vya mwili uleule, na wanashiriki ahadi ileile aliyofanya Mungu kwa njia ya Kristo Yesu.

Kusoma sura kamili Waefeso 3

Mtazamo Waefeso 3:6 katika mazingira