Agano la Kale

Agano Jipya

Yakobo 1:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini anapaswa kuomba kwa imani bila mashaka yoyote. Mtu aliye na mashaka ni kama mawimbi ya bahari ambayo husukumwa na kutupwatupwa na upepo.

Kusoma sura kamili Yakobo 1

Mtazamo Yakobo 1:6 katika mazingira