Agano la Kale

Agano Jipya

Yakobo 5:12 Biblia Habari Njema (BHN)

Zaidi ya hayo yote, ndugu zangu, msiape kwa mbingu, wala kwa dunia, wala kwa kitu kingine chochote. Semeni “Ndiyo” kama maana yenu ni ndiyo, na “La” kama maana yenu ni la, na hapo hamtahukumiwa na Mungu.

Kusoma sura kamili Yakobo 5

Mtazamo Yakobo 5:12 katika mazingira