Agano la Kale

Agano Jipya

Yohane 1:38 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, Yesu aligeuka, na alipowaona hao wanafunzi wanamfuata, akawauliza, “Mnatafuta nini?” Nao wakamjibu, “Rabi, (yaani Mwalimu), unakaa wapi?”

Kusoma sura kamili Yohane 1

Mtazamo Yohane 1:38 katika mazingira