Agano la Kale

Agano Jipya

Yohane 10:12 Biblia Habari Njema (BHN)

Mtu wa kuajiriwa ambaye si mchungaji, na wala kondoo si mali yake, anapoona mbwamwitu anakuja, huwaacha kondoo na kukimbia, kisha mbwamwitu huwakamata na kuwatawanya.

Kusoma sura kamili Yohane 10

Mtazamo Yohane 10:12 katika mazingira