Agano la Kale

Agano Jipya

Yohane 10:3 Biblia Habari Njema (BHN)

Mngojamlango wa zizi humfungulia, na kondoo husikia sauti yake; naye huwaita kondoo wake kila mmoja kwa jina lake, na kuwaongoza nje.

Kusoma sura kamili Yohane 10

Mtazamo Yohane 10:3 katika mazingira