Agano la Kale

Agano Jipya

Yohane 11:33 Biblia Habari Njema (BHN)

Yesu alipomwona analia, na wale Wayahudi waliokuja pamoja naye wanalia pia, alijawa na huzuni na kufadhaika moyoni.

Kusoma sura kamili Yohane 11

Mtazamo Yohane 11:33 katika mazingira