Agano la Kale

Agano Jipya

Yohane 12:34 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, umati huo ukamjibu, “Sisi tunaambiwa na sheria yetu kwamba Kristo atadumu milele. Wawezaje basi, kusema ati Mwana wa Mtu anapaswa kuinuliwa? Huyo Mwana wa Mtu ni nani?”

Kusoma sura kamili Yohane 12

Mtazamo Yohane 12:34 katika mazingira