Agano la Kale

Agano Jipya

Yohane 18:15 Biblia Habari Njema (BHN)

Simoni Petro pamoja na mwanafunzi mwingine walimfuata Yesu. Huyo mwanafunzi mwingine alikuwa anajulikana kwa kuhani mkuu, hivyo aliingia pamoja na Yesu ndani ya ukumbi wa kuhani mkuu.

Kusoma sura kamili Yohane 18

Mtazamo Yohane 18:15 katika mazingira