Agano la Kale

Agano Jipya

Yohane 19:11 Biblia Habari Njema (BHN)

Yesu akamjibu, “Hungekuwa na mamlaka yoyote juu yangu kama hungepewa na Mungu. Kwa sababu hiyo, yule aliyenikabidhi kwako ana dhambi kubwa zaidi.”

Kusoma sura kamili Yohane 19

Mtazamo Yohane 19:11 katika mazingira