Agano la Kale

Agano Jipya

Yohane 19:20 Biblia Habari Njema (BHN)

Wayahudi wengi waliisoma ilani hiyo, maana mahali hapo aliposulubiwa Yesu palikuwa karibu na mji. Tena ilani hiyo ilikuwa imeandikwa kwa Kiebrania, Kilatini, na Kigiriki.

Kusoma sura kamili Yohane 19

Mtazamo Yohane 19:20 katika mazingira