Agano la Kale

Agano Jipya

Yohane 2:9 Biblia Habari Njema (BHN)

Mkuu wa karamu alipoonja hayo maji, kumbe yalikuwa yamegeuka kuwa divai. Yeye hakujua ilikotoka, (lakini wale watumishi waliochota maji walijua). Mkuu wa karamu akamwita bwana arusi,

Kusoma sura kamili Yohane 2

Mtazamo Yohane 2:9 katika mazingira