Agano la Kale

Agano Jipya

Yohane 20:25 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, wale wanafunzi wengine wakamwambia, “Tumemwona Bwana.” Thoma akawaambia, “Nisipoona mikononi mwake alama za misumari na kutia kidole changu katika kovu hizo, na kutia mkono wangu ubavuni mwake, sitasadiki.”

Kusoma sura kamili Yohane 20

Mtazamo Yohane 20:25 katika mazingira