Agano la Kale

Agano Jipya

Yohane 21:18 Biblia Habari Njema (BHN)

Kweli nakuambia, ulipokuwa kijana ulizoea kujifunga mshipi na kwenda kokote ulikotaka. Lakini utakapokuwa mzee utanyosha mikono yako, na mtu mwingine atakufunga na kukupeleka usikopenda kwenda.”

Kusoma sura kamili Yohane 21

Mtazamo Yohane 21:18 katika mazingira