Agano la Kale

Agano Jipya

Yohane 5:18 Biblia Habari Njema (BHN)

Kwa sababu ya maneno haya, viongozi wa Wayahudi walizidi kutafuta njia ya kumuua Yesu; si kwa kuwa aliivunja Sheria ya Sabato tu, bali pia kwa kuwa alisema kwamba Mungu ni Baba yake, na hivyo akajifanya sawa na Mungu.

Kusoma sura kamili Yohane 5

Mtazamo Yohane 5:18 katika mazingira