Agano la Kale

Agano Jipya

Yohane 7:12 Biblia Habari Njema (BHN)

Kulikuwa na minongono mingi katika umati wa watu. Baadhi yao walisema, “Ni mtu mwema.” Wengine walisema, “La! Anawapotosha watu.”

Kusoma sura kamili Yohane 7

Mtazamo Yohane 7:12 katika mazingira