Agano la Kale

Agano Jipya

1 Mambo Ya Nyakati 12:38 Biblia Habari Njema (BHN)

Wanajeshi hao wote, waliojiandaa tayari kabisa kwa vita, walikwenda Hebroni na nia yao kubwa ikiwa ni kumtawaza Daudi awe mfalme wa Israeli yote. Nao watu wote wa Israeli, pia waliungana wakiwa na nia moja ya kumtawaza Daudi awe mfalme.

Kusoma sura kamili 1 Mambo Ya Nyakati 12

Mtazamo 1 Mambo Ya Nyakati 12:38 katika mazingira