Agano la Kale

Agano Jipya

1 Mambo Ya Nyakati 13:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Daudi, akiandamana na Waisraeli wote, akaenda hadi mjini Baala, yaani Kiriath-yearimu, nchini Yudea, ili kulichukua toka huko sanduku la Mungu linaloitwa kwa jina lake Mwenyezi-Mungu akaaye kwenye kiti chake cha enzi juu ya viumbe vyenye mabawa.

Kusoma sura kamili 1 Mambo Ya Nyakati 13

Mtazamo 1 Mambo Ya Nyakati 13:6 katika mazingira