Agano la Kale

Agano Jipya

1 Mambo Ya Nyakati 14:10 Biblia Habari Njema (BHN)

Ndipo Daudi alipomwuliza Mungu shauri, “Je, niende kuwashambulia Wafilisti? Je, utawatia mikononi mwangu?” Naye Mwenyezi-Mungu akamwambia, “Nenda, nitawatia mikononi mwako.”

Kusoma sura kamili 1 Mambo Ya Nyakati 14

Mtazamo 1 Mambo Ya Nyakati 14:10 katika mazingira