Agano la Kale

Agano Jipya

1 Mambo Ya Nyakati 19:2 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, Daudi akasema, “Nitamtendea mema Hanuni mwana wa Nahashi, kwani baba yake alinitendea mema pia.” Hivyo Daudi alituma wajumbe na kumpelekea salamu za rambirambi kwa ajili ya kifo cha baba yake. Nao wakaenda kwa Hanuni ili kumfariji, huko katika nchi ya Waamoni.

Kusoma sura kamili 1 Mambo Ya Nyakati 19

Mtazamo 1 Mambo Ya Nyakati 19:2 katika mazingira