Agano la Kale

Agano Jipya

1 Mambo Ya Nyakati 21:15 Biblia Habari Njema (BHN)

Halafu Mungu akatuma malaika aende kuuharibu Yerusalemu; lakini kabla hajafanya hivyo, Mwenyezi-Mungu akageuza nia yake na kumwambia malaika huyo aliyetekeleza maangamizi, “Basi, yatosha!” Malaika alikuwa amesimama karibu na uwanja wa kupuria nafaka wa Ornani, Myebusi.

Kusoma sura kamili 1 Mambo Ya Nyakati 21

Mtazamo 1 Mambo Ya Nyakati 21:15 katika mazingira