Agano la Kale

Agano Jipya

1 Mambo Ya Nyakati 24:31 Biblia Habari Njema (BHN)

Pia hao wote walipiga kura kufuatana na ukoo wa kila mkuu na mdogo wake, kama wazawa wa Aroni walivyofanya. Walipiga kura mbele ya mfalme Daudi, Sadoki, Ahimeleki na viongozi wa jamaa za makuhani na za Walawi.

Kusoma sura kamili 1 Mambo Ya Nyakati 24

Mtazamo 1 Mambo Ya Nyakati 24:31 katika mazingira