Agano la Kale

Agano Jipya

1 Mambo Ya Nyakati 28:5 Biblia Habari Njema (BHN)

Mwenyezi-Mungu amenijalia wana wengi, na miongoni mwa hao wote, amemchagua Solomoni mwanangu, aketi juu ya kiti cha enzi cha ufalme wake Mwenyezi-Mungu aitawale Israeli.

Kusoma sura kamili 1 Mambo Ya Nyakati 28

Mtazamo 1 Mambo Ya Nyakati 28:5 katika mazingira