Agano la Kale

Agano Jipya

1 Mambo Ya Nyakati 3:4 Biblia Habari Njema (BHN)

Wote sita, walizaliwa Hebroni ambako Daudi alitawala kwa muda wa miaka saba na nusu. Huko Yerusalemu, alitawala kwa muda wa miaka thelathini na mitatu.

Kusoma sura kamili 1 Mambo Ya Nyakati 3

Mtazamo 1 Mambo Ya Nyakati 3:4 katika mazingira