Agano la Kale

Agano Jipya

1 Mambo Ya Nyakati 7:3 Biblia Habari Njema (BHN)

Uzi alikuwa na mwana mmoja, jina lake Izrahia. Na wana wa Izrahia walikuwa Mikaeli, Obadia, Yoeli na Ishia, jumla wanne, na wote walikuwa wakuu wa jamaa.

Kusoma sura kamili 1 Mambo Ya Nyakati 7

Mtazamo 1 Mambo Ya Nyakati 7:3 katika mazingira