Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 15:33 Biblia Habari Njema (BHN)

Samueli akasema, “Kwa kuwa upanga wako umewafanya akina mama wengi wasiwe na watoto, ndivyo na mama yako atakavyokuwa bila mtoto miongoni mwa akina mama.” Akamkatakata Agagi vipandevipande mbele ya Mwenyezi-Mungu huko Gilgali.

Kusoma sura kamili 1 Samueli 15

Mtazamo 1 Samueli 15:33 katika mazingira