Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 15:35 Biblia Habari Njema (BHN)

Tangu siku hiyo, Samueli hakumwona tena Shauli, mpaka siku alipofariki. Hata hivyo Samueli alimlilia Shauli. Naye Mwenyezi-Mungu alisikitika kwamba alikuwa amemtawaza Shauli mfalme juu ya Israeli.

Kusoma sura kamili 1 Samueli 15

Mtazamo 1 Samueli 15:35 katika mazingira