Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 24:10 Biblia Habari Njema (BHN)

Sasa tazama, leo umejionea kwa macho yako mwenyewe; ulipokuwa pangoni Mwenyezi-Mungu alikutia mikononi mwangu. Baadhi ya watu wangu waliniambia nikuue, lakini nilikuhurumia. Nikasema sitanyosha mkono wangu dhidi ya bwana wangu kwani yeye ameteuliwa na Mwenyezi-Mungu kwa kupakwa mafuta.

Kusoma sura kamili 1 Samueli 24

Mtazamo 1 Samueli 24:10 katika mazingira