Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 24:3 Biblia Habari Njema (BHN)

Shauli alipokuwa anasafiri, alifika kwenye pango moja lililokuwa karibu na zizi la kondoo, akaingia humo pangoni ili kujisaidia. Daudi na watu wake walikuwa wameketi ndani kabisa ya pango hilo.

Kusoma sura kamili 1 Samueli 24

Mtazamo 1 Samueli 24:3 katika mazingira