Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 24:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Akawaambia watu wake, “Mwenyezi-Mungu anizuie nisimtendee kitendo kama hiki bwana wangu aliyepakwa mafuta na Mwenyezi-Mungu. Nisiunyoshe mkono wangu dhidi ya mtu ambaye Mwenyezi-Mungu amempaka mafuta.”

Kusoma sura kamili 1 Samueli 24

Mtazamo 1 Samueli 24:6 katika mazingira