Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 24:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Baadaye, Daudi naye akainuka, akatoka pangoni na kumwita Shauli, “Bwana wangu mfalme!” Mfalme Shauli alipoangalia nyuma, Daudi aliinama hadi chini, akamsujudia Shauli.

Kusoma sura kamili 1 Samueli 24

Mtazamo 1 Samueli 24:8 katika mazingira