Agano la Kale

Agano Jipya

1 Wafalme 1:32 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha mfalme Daudi akasema, “Niitie kuhani Sadoki, nabii Nathani na Benaya mwana wa Yehoyada.” Nao wakamjia mfalme.

Kusoma sura kamili 1 Wafalme 1

Mtazamo 1 Wafalme 1:32 katika mazingira