Agano la Kale

Agano Jipya

1 Wafalme 16:13 Biblia Habari Njema (BHN)

Mambo haya yalifanyika kwa sababu ya dhambi alizotenda Baasha na mwanawe Ela. Walimkasirisha Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Israeli, kwa kutenda dhambi na kuwafanya watu wa Israeli watende dhambi kwa sanamu za miungu yao.

Kusoma sura kamili 1 Wafalme 16

Mtazamo 1 Wafalme 16:13 katika mazingira