Agano la Kale

Agano Jipya

1 Wafalme 16:15 Biblia Habari Njema (BHN)

Zimri alitawala huko Israeli kutoka Tirza kwa muda wa siku saba. Huo ulikuwa mwaka wa ishirini na saba wa utawala wa Asa mfalme wa Yuda. Basi, watu wa Israeli walikuwa wamepiga kambi kuuzingira mji wa Gibethoni wa Wafilisti,

Kusoma sura kamili 1 Wafalme 16

Mtazamo 1 Wafalme 16:15 katika mazingira