Agano la Kale

Agano Jipya

1 Wafalme 18:12 Biblia Habari Njema (BHN)

Ninahofia kwamba mara nitakapoondoka, Roho ya Mwenyezi-Mungu itakunyakua na kukupeleka mahali nisipopajua! Nikienda kumwambia Ahabu kwamba uko hapa, naye akikutafuta asikupate, ataniua mimi, ingawaje mimi mtumishi wako nimemcha Mwenyezi-Mungu tangu ujana wangu.

Kusoma sura kamili 1 Wafalme 18

Mtazamo 1 Wafalme 18:12 katika mazingira