Agano la Kale

Agano Jipya

1 Wafalme 18:43 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha akamwambia mtumishi wake, “Sasa, nenda utazame upande wa baharini.” Mtumishi akaenda, akatazama, kisha akarudi akasema, “Hamna kitu.” Elia akamwambia, “Nenda tena mara saba.”

Kusoma sura kamili 1 Wafalme 18

Mtazamo 1 Wafalme 18:43 katika mazingira