Agano la Kale

Agano Jipya

1 Wafalme 20:33 Biblia Habari Njema (BHN)

Watumishi wa Ben-hadadi walikuwa wanategea ishara yoyote ile ya bahati njema, basi Ahabu aliposema hivyo, wao wakadakia wakasema, “Naam, Ben-hadadi ni ndugu yako!” Ahabu akawaambia, “Nendeni mkamlete kwangu.”Basi, Ben-hadadi alipomjia, Ahabu akamtaka aketi naye katika gari lake la kukokotwa.

Kusoma sura kamili 1 Wafalme 20

Mtazamo 1 Wafalme 20:33 katika mazingira