Agano la Kale

Agano Jipya

1 Wafalme 21:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, Yezebeli akaandika barua kadha kwa jina la Ahabu na kuzipiga mhuri wa mfalme. Kisha akapeleka barua hizo kwa wazee na watu mashuhuri walioishi na Nabothi huko mjini.

Kusoma sura kamili 1 Wafalme 21

Mtazamo 1 Wafalme 21:8 katika mazingira